PICHA: Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Akimpongeza Mwenyekiti Mpya Wa UVCCM

Tuesday, December 12, 2017

PICHA: Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Akimpongeza Mwenyekiti Mpya Wa UVCCM

SeeBait
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimpongeza Mwenyekiti Mpya wa UVCCM Kheri James, nje ya Ukumbi wa Chuo cha Mipango, mjini Dodoma Desemba 11, 2017 (katikati) ni Katibu wa CCM, Abdulrahman Kinana.
 
Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

Comments

Popular posts from this blog

FAIDA NA MAAJABU JUISI YA UBUYU

JUA HATUA ZA UFUGAJI WA NYUKI